5. Ee BWANA, jinsi yalivyo makuu matendo yako!Mawazo yako ni mafumbo makubwa.
6. Mtu mjinga hayatambui hayo,Wala mpumbavu hayafahamu.
7. Wasio haki wakichipuka kama majaniNa wote watendao maovu wakistawi.Ni kwa kusudi waangamizwe milele;
8. Bali Wewe, BWANA, U Mtukufu hata milele.