Zab. 91:10-12 Swahili Union Version (SUV)

10. Mabaya hayatakupata wewe,Wala tauni haitaikaribia hema yako.

11. Kwa kuwa atakuagizia malaika zakeWakulinde katika njia zako zote.

12. Mikononi mwao watakuchukua,Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

Zab. 91