Zab. 9:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;

2. Nitafurahi na kukushangilia Wewe;Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.

3. Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma;Hujikwaa na kuangamia mbele zako.

Zab. 9