Zab. 81:12-15 Swahili Union Version (SUV)

12. Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao,Waenende katika mashauri yao.

13. Laiti watu wangu wangenisikiliza,Na Israeli angeenenda katika njia zangu;

14. Ningewadhili adui zao kwa upesi,Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;

15. Wamchukiao BWANA wangenyenyekea mbele zake,Bali wakati wao ungedumu milele.

Zab. 81