4. Watesi wako wamenguruma kati ya kusanyiko lako;Wameweka bendera zao ziwe alama.
5. Wanaonekana kama watu wainuao mashoka,Waikate miti ya msituni.
6. Na sasa nakishi yake yote piaWanaivunja-vunja kwa mashoka na nyundo.
7. Wamepatia moto patakatifu pako;Wamelinajisi kao la jina lako hata chini.