Zab. 74:4-7 Swahili Union Version (SUV)

4. Watesi wako wamenguruma kati ya kusanyiko lako;Wameweka bendera zao ziwe alama.

5. Wanaonekana kama watu wainuao mashoka,Waikate miti ya msituni.

6. Na sasa nakishi yake yote piaWanaivunja-vunja kwa mashoka na nyundo.

7. Wamepatia moto patakatifu pako;Wamelinajisi kao la jina lako hata chini.

Zab. 74