Zab. 74:20-22 Swahili Union Version (SUV)

20. Ulitafakari agano;Maana mahali penye giza katika nchiPamejaa makao ya ukatili.

21. Aliyeonewa asirejee ametiwa haya,Mnyonge na mhitaji na walisifu jina lako.

22. Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe,Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.

Zab. 74