21. Moyo wangu ulipoona uchungu,Viuno vyangu viliponichoma,
22. Nalikuwa kama mjinga, sijui neno;Nalikuwa kama mnyama tu mbele zako.
23. Walakini mimi ni pamoja nawe daima,Umenishika mkono wa kuume.
24. Utaniongoza kwa shauri lako,Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.