Zab. 7:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. BWANA, Mungu wangu, nimekukimbilia Wewe,Uniokoe na wote wanaonifuatia, uniponye.

2. Asije akaipapura nafsi yangu kama simba,Akiivunja-vunja pasipokuwa na wa kuponya.

3. BWANA, Mungu wangu, ikiwa nimetenda haya,Ikiwa mna uovu mikononi mwangu,

Zab. 7