Zab. 49:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. ili aishi sikuzote asilione kaburi.

10. Naam, ataliona, hata wenye hekima hufa;Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja,Na kuwaachia wengine mali zao.

11. Makaburi ni nyumba zao hata milele,Maskani zao vizazi hata vizazi.Hao waliotaja mashamba yaoKwa majina yao wenyewe.

Zab. 49