Zab. 43:3-4 Swahili Union Version (SUV)

3. Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze,Zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu na hata maskani yako.

4. Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliyefuraha yangu na shangwe yangu;Nitakusifu kwa kinubi, Ee MUNGU, Mungu wangu.

Zab. 43