Zab. 41:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Heri amkumbukaye mnyonge;BWANA atamwokoa siku ya taabu.

2. BWANA atamlinda na kumhifadhi hai,Naye atafanikiwa katika nchi;Wala usimtie katika hali wamtakiayo adui zake.

3. BWANA atamtegemeza alipo mgonjwa kitandani.Katika ugonjwa wake umemtandikia.

Zab. 41