14. Waaibike, wafedheheke pamoja,Wanaoitafuta nafsi yangu waiangamize.Warudishwe nyuma, watahayarishwe,Wapendezwao na shari yangu.
15. Wakae hali ya ukiwa, na iwe aibu yao,Wanaoniambia, Ewe! Ewe!
16. Washangilie, wakufurahie,Wote wakutafutao.Waupendao wokovu wakoWaseme daima, Atukuzwe BWANA.