Zab. 26:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, unihukumu mimi,Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu,Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.

2. Ee BWANA, unijaribu na kunipima;Unisafishe mtima wangu na moyo wangu.

Zab. 26