30. Mungu, njia yake ni kamilifu,Ahadi ya BWANA imehakikishwa,Yeye ndiye ngao yao.Wote wanaomkimbilia.
31. Maana ni nani aliye Mungu ila BWANA?Ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?
32. Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu,Naye anaifanya kamilifu njia yangu.
33. Miguu yangu anaifanya kuwa ya kulungu,Na kunisimamisha mahali pangu pa juu.