3. Na walisifu jina lake kwa kucheza,Kwa matari na kinubi wamwimbie.
4. Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake,Huwapamba wenye upole kwa wokovu.
5. Watauwa na waushangilie utukufu,Waimbe kwa sauti kuu vitandani mwao.
6. Sifa kuu za Mungu na ziwe vinywani mwao,Na upanga mkali kuwili mikononi mwao.