Zab. 146:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.

2. Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.

3. Msiwatumainie wakuu,Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.

4. Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake,Siku hiyo mawazo yake yapotea.

Zab. 146