Zab. 139:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, umenichunguza na kunijua.

2. Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu;Umelifahamu wazo langu tokea mbali.

3. Umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu,Umeelewa na njia zangu zote.

Zab. 139