Zab. 135:17-20 Swahili Union Version (SUV)

17. Zina masikio lakini hazisikii,Wala hamna pumzi vinywani mwake.

18. Wazifanyao watafanana nazo,Na kila mmoja anayezitumainia.

19. Enyi mlango wa Israeli, mhimidini BWANA;Enyi mlango wa Haruni, mhimidini BWANA;

20. Enyi mlango wa Lawi, mhimidini BWANA;Ninyi mnaomcha BWANA, mhimidini BWANA.

Zab. 135