Zab. 130:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja,Na neno lake nimelitumainia.

6. Nafsi yangu inamngoja Bwana,Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi,Naam, walinzi waingojao asubuhi.

7. Ee Israeli, umtarajie BWANA;Maana kwa BWANA kuna fadhili,Na kwake kuna ukombozi mwingi.

Zab. 130