Zab. 13:3-5 Swahili Union Version (SUV)

3. Ee BWANA, Mungu wangu, uangalie, uniitikie;Uyatie nuru macho yangu,Nisije nikalala usingizi wa mauti.

4. Adui yangu asije akasema, Nimemshinda;Watesi wangu wasifurahi ninapoondoshwa.

5. Nami nimezitumainia fadhili zako;Moyo wangu na uufurahie wokovu wako.

Zab. 13