Zab. 119:85-87 Swahili Union Version (SUV)

85. Wenye kiburi wamenichimbia mashimo,Ambao hawaifuati sheria yako.

86. Maagizo yako yote ni amini,Wananifuatia bure, unisaidie.

87. Walikuwa karibu na kunikomesha katika nchi,Lakini sikuyaacha mausia yako.

Zab. 119