Zab. 119:69-71 Swahili Union Version (SUV)

69. Wenye kiburi wamenizulia uongo,Kwa moyo wangu wote nitayashika mausia yako.

70. Mioyo yao imenenepa kama shahamu,Mimi nimeifurahia sheria yako.

71. Ilikuwa vema kwangu kuwa naliteswa,Nipate kujifunza amri zako.

Zab. 119