Zab. 119:29-31 Swahili Union Version (SUV)

29. Uniondolee njia ya uongo,Unineemeshe kwa sheria yako.

30. Nimeichagua njia ya uaminifu,Na kuziweka hukumu zako mbele yangu.

31. Nimeambatana na shuhuda zako,Ee BWANA, usiniaibishe.

Zab. 119