6. BWANA yuko upande wangu, sitaogopa;Mwanadamu atanitenda nini?
7. BWANA yuko upande wangu, msaidizi wangu,Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.
8. Ni heri kumkimbilia BWANAKuliko kuwatumainia wanadamu.
9. Ni heri kumkimbilia BWANA.Kuliko kuwatumainia wakuu.
10. Mataifa yote walinizunguka;Kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali.