Zab. 115:3-6 Swahili Union Version (SUV)

3. Lakini Mungu wetu yuko mbinguni,Alitakalo lote amelitenda.

4. Sanamu zao ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya wanadamu.

5. Zina vinywa lakini hazisemi,Zina macho lakini hazioni,

6. Zina masikio lakini hazisikii,Zina pua lakini hazisikii harufu,

Zab. 115