Zab. 112:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Heri mtu yule amchaye BWANA,Apendezwaye sana na maagizo yake.

2. Wazao wake watakuwa hodari duniani;Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.

3. Nyumbani mwake mna utajiri na mali,Na haki yake yakaa milele.

Zab. 112