Zab. 107:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti,Akayavunja mafungo yao.

15. Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake,Na maajabu yake kwa wanadamu.

16. Maana ameivunja milango ya shaba,Ameyakata mapingo ya chuma.

Zab. 107