Zab. 107:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Hata akawadhili moyo kwa taabu,Wakajikwaa wala hakuna msaidizi.

13. Wakamlilia BWANA katika dhiki zao,Akawaponya na shida zao.

14. Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti,Akayavunja mafungo yao.

Zab. 107