Zab. 106:43-46 Swahili Union Version (SUV)

43. Mara nyingi aliwaponya,Bali walikuwa wakimwasi kwa mashauri yao,Wakadhilika katika uovu wao.

44. Lakini aliyaangalia mateso yao,Aliposikia kilio chao.

45. Akawakumbukia agano lake;Akawahurumia kwa wingi wa fadhili zake;

46. Akawajalia kuhurumiwaNa watu wote waliowateka.

Zab. 106