Zab. 105:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. Zikumbukeni ajabu zake alizozifanya,Miujiza yake na hukumu za kinywa chake.

6. Enyi wazao wa Ibrahimu, mtumishi wake;Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

7. Yeye, BWANA, ndiye Mungu wetu;Duniani mwote mna hukumu zake.

Zab. 105