Zab. 105:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake,Wajulisheni watu matendo yake.

2. Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi,Zitafakarini ajabu zake zote.

Zab. 105