Zab. 104:25-27 Swahili Union Version (SUV)

25. Bahari iko kule, kubwa na upana,Ndimo mlimo viendavyo visivyohesabika,Viumbe hai vidogo kwa vikubwa.

26. Ndimo zipitamo merikebu,Ndimo alimo lewiathani uliyemwumba acheze humo.

27. Hao wote wanakungoja Wewe,Uwape chakula chao kwa wakati wake.

Zab. 104