Zab. 104:19-23 Swahili Union Version (SUV)

19. Aliufanya mwezi kwa ajili ya nyakati,Jua latambua kuchwa kwake.

20. Wewe hufanya giza, kukawa usiku,Ndipo atambaapo kila mnyama wa mwitu.

21. Wana-simba hunguruma wakitaka mawindo,Ili kutafuta chakula chao kwa Mungu.

22. Jua lachomoza, wanakwenda zao,Na kujilaza mapangoni mwao.

23. Mwanadamu atoka kwenda zake kazini,Na kwenye utumishi wake mpaka jioni.

Zab. 104