Yos. 19:2-7 Swahili Union Version (SUV)

2. Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, na Sheba, na Molada;

3. na Hasarshuali, na Bala, na Esemu;

4. na Eltoladi, na Bethuli, na Horma;

5. na Siklagi, na Bethmarkabothi, na Hasarsusa;

6. na Bethlebaothi, na Sharuheni; miji kumi na mitatu, pamoja na vijiji vyake;

7. na Aini, na Rimoni, na Etheri, na Ashani; miji minne, pamoja na vijiji vyake;

Yos. 19