2. Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, na Sheba, na Molada;
3. na Hasarshuali, na Bala, na Esemu;
4. na Eltoladi, na Bethuli, na Horma;
5. na Siklagi, na Bethmarkabothi, na Hasarsusa;
6. na Bethlebaothi, na Sharuheni; miji kumi na mitatu, pamoja na vijiji vyake;
7. na Aini, na Rimoni, na Etheri, na Ashani; miji minne, pamoja na vijiji vyake;