20. Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Yuda sawasawa na jamaa zao.
21. Miji ya mwisho ya kabila ya wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri;
22. na Kina, na Dimona, na Adada;
23. na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani;
24. na Zifu, na Telemu, na Bealothi;
25. na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);