Yoe. 1:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Levukeni, enyi walevi, mkalie;Pigeni yowe, ninyi nyote mnywao divai;Kwa sababu ya divai mpya;Maana umekatiliwa mbali na vinywa vyenu.

6. Maana taifa limepanda juu ya nchi yangu,Lenye nguvu, tena halina hesabu;Meno yake ni kama meno ya simba,Naye ana magego ya simba mkubwa.

7. Ameuharibu mzabibu wangu; ameuvunja mtini wangu; ameyaambua magamba yake kabisa; ameuangusha chini; matawi yake yamefanywa kuwa meupe.

8. Ombolea kama mwanamwali avaaye maguniaKwa ajili ya mume wa ujana wake.

Yoe. 1