Yn. 16:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa.

2. Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.

3. Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.

Yn. 16