Yer. 48:20-23 Swahili Union Version (SUV)

20. Moabu ameaibishwa, kwa maana amevunjika;Pigeni yowe na kulia;Tangazeni habari hii katika Arnoni,Ya kuwa Moabu ameharibika.

21. Na hukumu imeifikilia nchi tambarare; juu ya Holoni, na juu ya Yasa, na juu ya Mefaathi;

22. na juu ya Diboni, na juu ya Nebo, na juu ya Beth-diblathaimu;

23. na juu ya Kiriathaimu, na juu ya Beth-gamuli, na juu ya Beth-meoni;

Yer. 48