20. Moabu ameaibishwa, kwa maana amevunjika;Pigeni yowe na kulia;Tangazeni habari hii katika Arnoni,Ya kuwa Moabu ameharibika.
21. Na hukumu imeifikilia nchi tambarare; juu ya Holoni, na juu ya Yasa, na juu ya Mefaathi;
22. na juu ya Diboni, na juu ya Nebo, na juu ya Beth-diblathaimu;
23. na juu ya Kiriathaimu, na juu ya Beth-gamuli, na juu ya Beth-meoni;