Omb. 4:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Heri wale waliouawa kwa upangaKuliko wao waliouawa kwa njaa;Maana hao husinyaa, wakichomwaKwa kukosa matunda ya mashamba.

10. Mikono ya wanawake wenye hurumaImewatokosa watoto wao wenyewe;Walikuwa ndio chakula chaoKatika uharibifu wa binti ya watu wangu.

11. BWANA ameitimiza kani yake,Ameimimina hasira yake kali;Naye amewasha moto katika SayuniUlioiteketeza misingi yake.

Omb. 4