Omb. 3:47-52 Swahili Union Version (SUV)

47. Hofu imetujilia na shimo,Ukiwa na uharibifu.

48. Jicho langu lachuruzika mito ya majiKwa ajili ya uvunjifu wa binti ya watu wangu.

49. Jicho langu latoka machozi lisikome,Wala haliachi;

50. Hata BWANA atakapoangaliaNa kutazama toka mbinguni.

51. Jicho langu lanitia huzuni nafsini mwangu,Kwa sababu ya binti zote za mji wangu.

52. Walio adui zangu bila sababuWameniwinda sana kama ndege;

Omb. 3