Omb. 2:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Jinsi Bwana alivyomfunika binti SayuniKwa wingu katika hasira yake!Ameutupa toka mbinguni hata nchiHuo uzuri wa Israeli;Wala hakukikumbuka kiti cha miguu yakeKatika siku ya hasira yake.

2. Bwana ameyameza makao yote ya Yakobo,Wala hakuona huruma;Ameziangusha ngome za binti YudaKatika ghadhabu yake;Amezibomoa hata nchiAmeunajisi ufalme na wakuu wake.

3. Ameikata pembe yote ya IsraeliKatika hasira yake kali;Ameurudisha nyuma mkono wake wa kuumeMbele ya hao adui,Naye amemteketeza Yakobo kama moto uwakao,Ulao pande zote.

Omb. 2