Neh. 7:38-40 Swahili Union Version (SUV)

38. Watu wa Senaa, elfu tatu mia kenda na thelathini.

39. Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia kenda sabini na watatu.

40. Wana wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.

Neh. 7