Neh. 7:34-37 Swahili Union Version (SUV)

34. Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.

35. Wana wa Harimu, mia tatu na ishirini.

36. Wana wa Yeriko, mia tatu arobaini na watano.

37. Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.

Neh. 7