8. Na baada yake Gabai, Salai, watu mia kenda ishirini na wanane.
9. Na Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa msimamizi wao; na Yuda, mwana wa Hasenua, alikuwa wa pili juu ya mji.
10. Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,
11. na Seraya, mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi wa nyumba ya Mungu,