Neh. 11:7-10 Swahili Union Version (SUV)

7. Na wana wa Benyamini ndio hawa; Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya.

8. Na baada yake Gabai, Salai, watu mia kenda ishirini na wanane.

9. Na Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa msimamizi wao; na Yuda, mwana wa Hasenua, alikuwa wa pili juu ya mji.

10. Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,

Neh. 11