Neh. 11:25-31 Swahili Union Version (SUV)

25. Na katika habari za vijiji na mashamba yake; wengine wa wana wa Yuda walikuwa wakikaa Kiriath-arba na vijiji vyake, na katika Diboni na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake;

26. na katika Yeshua, na Molada, na Beth-peleti;

27. na Hazar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;

28. na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;

29. na katika Enrimoni, na Sora, na Yarmuthi;

30. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.

31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;

Neh. 11