Neh. 10:5-13 Swahili Union Version (SUV)

5. Harimu, Meremothi, Obadia;

6. Danieli, Ginethoni, Baruki;

7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;

8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.

9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

10. na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;

11. Mika, Rehobu, Hashabia;

12. Zakuri, Sherebia, Shebania;

13. Hodia, Bani, Beninu;

Neh. 10