Mt. 5:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Heri wenye moyo safi;Maana hao watamwona Mungu.

9. Heri wapatanishi;Maana hao wataitwa wana wa Mungu.

10. Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki;Maana ufalme wa mbinguni ni wao.

11. Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.

Mt. 5