Mt. 3:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Uyahudi, na kusema,

2. Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.

3. Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema,Sauti ya mtu aliaye nyikani,Itengenezeni njia ya Bwana,Yanyosheni mapito yake.

Mt. 3