Mit. 24:31-33 Swahili Union Version (SUV)

31. Kumbe! Lote pia limemea miiba;Uso wake ulifunikwa kwa viwawi;Na ukuta wake wa mawe umebomoka.

32. Ndipo nilipoangalia na kufikiri sana;Naliona, nikapata mafundisho.

33. Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,Bado kukunja mikono upate usingizi!

Mit. 24